Popular Posts
Mar 28, 2011
Hongera 20%
Sina dukuduku lolote juu Ushindi wa Wimbo wa Tamaa Mbaya ktk Tuzo za Kili-awards...siyo siri, 20% anakila haki ya kutwaa tuzo Tano za kili-award...MAADILI yaliyomo ndani ya Truk hii siwezi hata kuelezea kutokana na Ubora wake...,''He is the Best ever Artist'' to to win such number of Nominations...Huo ni ujumbe kwa 'Mjinga'(S.jabil)..ajue kwamba Umalidadi huficha Umasikini...HONGERA.
Mar 25, 2011
Mar 24, 2011
Vijana wa Chadema wawasha Taa.
Mpango bado unaendelea..''ELIMU YA URAIA KWA WANANCHI''.....VIJANA wa CHADEMA Wameanzisha Mpango Kabambe wa Kuzunguuka Nchi Nzima Kuendesha Shughuli nzima ya Kuelimisha Umma wa Watanzania juu ya Haki na wajibu wa Raia..ikiwa ni pamoja na Elimu ya haki ya Utunzaji na Utumizi wa Mali asili zinazowazunguuka Pamoja na Ufunguzi wa Matawi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo....HAPA MJOMBA Husema 'Waooh,,,,HONGERENI WATOTO wa DADA''......Sidhani kama Kuna Mtanzania anayelaani suala hili la Kizalendo...Nami Sichelei kusema Hongera kwa Vijana hawa Wana wa Kitanzania Wenye nia Na Dhati ya Kuuvua Umma MAWANI ya MBAO waliyovikwa Miaka 49 iliyopita..NAWATAKIA KILA LA KHELI'